Rais Wa Zanzibar Apiga Picha Kitambulisho Cha Mtanzania
JAMII 10:40 PM

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakiwa katika ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi kushiriki katika zoezi ya upigaji wa picha za vitambulisho vya Taifa,hapo jana sambamba na utiaji saini fomu maalum na kuweka alama za vidole,ikiwa ni utaratibu wa ukamilishaji wa zoezi hilo,(aliyesimama) Mkurugenzi wa Vitambulisho vya Taifa Zanzibar Bw,Vuai Mussa Suleiman. [Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]
Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakiwa katika ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi kushiriki katika zoezi ya upigaji wa picha za vitambulisho vya Taifa,hapo jana sambamba na utiaji saini fomu maalum na kuweka alama za vidole,ikiwa ni utaratibu wa ukamilishaji wa zoezi hilo,(aliyesimama) Mkurugenzi wa Vitambulisho vya Taifa Zanzibar Bw,Vuai Mussa Suleiman. [Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]

Ali Mohamed Shein,(katikati) akiweka alama za vidole,baada ya kupiga picha za vitambulisho vya Taifa,sambamba utiaji saini fomu za ukamilishaji wa zoezi hilo,zoezi hilo lilifanyika jana katika ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi mmoja Mjini Unguja,(kushoto) Mkurugenzi wa Vitambulisho vya Taifa Zanzibar Bw,Vuai Mussa Suleiman,(kulia) Mathayo Msungu,NIDA.





