Airtel yafanya promosheni ya huduma ya ‘Jiunge na Supa 5’ kwa kishindo Mkoani Dodoma. Pigia *149*99#

 Wasanii wa kikundi cha Kinoko kutoka Dar es Salaam wakilishambulia jukwaa wakati wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 katika viwanja vya Jamhuri, Mkoani Dodoma jana. Uzinduzi rasmi ulifanyika jijini Dar
es Salaam hivi karibuni.
 Baadhi ya wakazi wa Dodoma wakihamia Airtel wakati wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 mkoani humo jana.
 Mkaazi wa Dodoma, Queen Jackson akishindana kucheza taarab wakati wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 mkoani humo jana.
 : Zawadi mbalimbali zikiwemo simu za mkononi zilitolewa ili kufanya promosheni hiyo iwe ya aina yake.
Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 Mkoani Dodoma jana.

Posted by Bigie on 3:24 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.