HAWA NDIO MASTAA WA NCHI SABA ZA AFRIKA WATAKAOSHIRIKI BIG BROTHER MWAKA HUU.

 
Barbz kutoka South Afrika (Model na mfanyabiashara)
Breaking kews kutoka Multichoice ni kwamba jumba la Big Brother ambalo linaanza kazi jumapili inayokuja litakua na mastaa saba wa nchi mbalimbali za Afrika ambao wataingia jumapili na kushiriki kama kawaida, yani sio kwa kipindi kifupi… wao pia ni sehemu ya washiriki wa shindano hilo linaloshirikisha nchi 14 za Afrika.
Tanzania haijawekwa kwenye list ya hao mastaa saba na hakuna taarifa za ziada kuhusu hilo lakini kuna uwezekano BBA wakafanya  surprise.
Mwimbaji Lady May kutoka Namibia.
 
Mampi kutoka Zambia (Mwimbaji)
 
CMB PREZZO kutoka Kenya. (Msanii)
 
Goldie kutoka NIGERIA (Mwimbaji)
 
DKB kutoka Ghana (Mchekeshaji wa Stand up Comedy)
 
Roki kutoka Zimbabwe (Mwanamuziki)

Posted by Bigie on 2:48 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.