RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA WABUNGE WATATU WAPYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wabunge watatu wapya kwa mujibu wa mamlaka ya uteuzi aliyo nayo chini ya Ibara ya 66(i) (e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wabunge hao wapya ni:
  1. Prof. Sospeter Muhogho
  2. Bi. Janet Mbene
  3. Bw. James Mbatia (Mwenyekiti NCCR - Mageuzi)

Uteuzi huo unaanza mara moja.

Taarifa imetolewa siku ya leo Alhamisi ya tarehe 3 Mei, 2012 na  Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Dar es Salaam.

Bofya majina yaliyokolezewa wino kusoma wasifu wa kila  mhusika. Nukuu ya Ibara ya 66 ya Katiba ni kama ifuatavyo:
Picture

Posted by Bigie on 2:33 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.