LIVE!!!1 WAZIRI MKUU AWASILI JIJINI MBEYA
JAMII 2:57 AM

Ndege ya Waziri mkuu ikiwa inatua Jijini Mbeya muda huu
Ndege ya waziri Mkuu ikiwa imesimama muda si mrefu

Viongozi mbali mbali wakiwa wamejiandaa vema kumpokea Waziri Mkuu Muda huu

Muheshimiwa Mbunge wa viti maalum CCM akiwa na Mheshimiwa Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi muda huu

Waziri mkuu Muheshimiwa Pinda akisalimia na viongozi mbali mbali muda huu
Akiendelea kusalimiana na Viongozi Mbali mbali
Muheshimiwa Pinda akivalishwa Skafu na moja ya skauti Mara baada ya kuwasili jijini Mbeya muda huu


Wakuu wa Idara Mbali mbali wakiwa wanangoja kumsalimia Waziri Mkuu

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya akiwa na Meya wa Jiji muda huu
Endela kufuatilia





