LIVE!!!1 WAZIRI MKUU AWASILI JIJINI MBEYA

Ndege ya Waziri mkuu ikiwa inatua Jijini Mbeya muda huu 
 Ndege ya waziri Mkuu ikiwa imesimama muda si mrefu 
 Viongozi mbali mbali wakiwa wamejiandaa vema kumpokea Waziri Mkuu Muda huu
 Muheshimiwa Mbunge wa viti maalum CCM akiwa na Mheshimiwa Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi muda huu
Waziri mkuu Muheshimiwa Pinda akisalimia na viongozi mbali mbali muda huu 
Akiendelea kusalimiana na Viongozi Mbali mbali 
Muheshimiwa Pinda akivalishwa Skafu na moja ya skauti Mara baada ya kuwasili jijini Mbeya muda huu


 Wakuu wa Idara Mbali mbali wakiwa wanangoja kumsalimia Waziri Mkuu 


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya akiwa na Meya wa Jiji  muda huu 
Endela kufuatilia 

Posted by Bigie on 2:57 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.