MAKAMU WA RAIS DK. GHARIB BILAL ATOA MSAADA KWA VITUO VIWILI VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR ES SALAAM
JAMII 1:55 AM

Msaidizi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, eneo la Makaazi, Peleleja Masesa (kushoto) akimkabidhi sehemu ya msaada wa vyakula, Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha kulelea Watoto Yatima cha Orphanasi Trust Fund Msongola, Deusdelit Mitauto, kwa niaba ya Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal. Makabidhiano hayo yalifanyika jana jijini Dar es Salaam.






