MASWALI YALIYO ZUA UTATA KUHUSU UHALALI WA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
JAMII 11:43 PM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wanahabari wakati wa kutangaza Baraza la Mawaziri leo April 4, 2012
Kuna maswali kadhaa yanaulizwa katika mitandao mbalimbali ya mazungumzo na majadiliano kwenye intaneti.
Baadhi yanahitaji maelezo ya ufafanuzi na vifungu vya katiba kusimamia majibu hayo kikamilifu.
Yafuatayo ni mojawapo ya maswali hayo:
SWALI: Je, Wizara ya afya ni sehemu ya Muungano wa Jamhuri ya Tanzania? Ikiwa jibu siyo, je, chaguo la Dkt. Hussein Mwinyi
kuiongoza Wizara ya Afya kama Waziri si kukiuka sheria mama (Katiba)?
SWALI: Pamoja na kuwa Rais anayo mamlaka kwa mujibu wa sheria kuteua Wabunge 10, je ipo mamlaka katika Sheria Mama inayoruhusu kuteuliwa kuwa Waziri kabla kwanza ya kuapishwa kuwa Mbunge na kisha kuapishwa kuwa Waziri?
Yakiongezeka maswali mengine nitayaweka hapa.Kazi ni kwako Mtanzania Mzalendo kusimamia sheria zinazokuhusu katika maamuzi ya maisha yako katika nchi yako!
Baadhi yanahitaji maelezo ya ufafanuzi na vifungu vya katiba kusimamia majibu hayo kikamilifu.
Yafuatayo ni mojawapo ya maswali hayo:
SWALI: Je, Wizara ya afya ni sehemu ya Muungano wa Jamhuri ya Tanzania? Ikiwa jibu siyo, je, chaguo la Dkt. Hussein Mwinyi
kuiongoza Wizara ya Afya kama Waziri si kukiuka sheria mama (Katiba)?
SWALI: Pamoja na kuwa Rais anayo mamlaka kwa mujibu wa sheria kuteua Wabunge 10, je ipo mamlaka katika Sheria Mama inayoruhusu kuteuliwa kuwa Waziri kabla kwanza ya kuapishwa kuwa Mbunge na kisha kuapishwa kuwa Waziri?
Yakiongezeka maswali mengine nitayaweka hapa.Kazi ni kwako Mtanzania Mzalendo kusimamia sheria zinazokuhusu katika maamuzi ya maisha yako katika nchi yako!
MWENYE MAJIBU ATUSAIDIE ....(TUPE MAONI YAKO)





