HUYU NI X-GIRLFRIEND WA BOW WOW, WAMEUNGANA KUSHEREHEKEA BIRTHDAY YA HUYU MTOTO WAO

X Girlfriend wa Bow wow (Joie) wa pili kutoka kulia akiwa na rafiki zake.
Rapper Bow wow pamoja na mpenzi wake wa zamani wameungana kusherehekea birthday ya mtoto wao aitwae Shai ambae ametimiza mwaka mmoja ambapo marafiki na familia zilihusika kwenye hiyo party.

Mwaka mmoja uliopita baada ya Bow wow kuandika barua ya wazi kukubali kwamba kweli yeye ni baba wa huyo mtoto, siku kadhaa baadae stori zilienea kwenye internet kwamba X girlfriend wake amekataa kuliweka jina la Bow wow kwenye cheti cha kuzaliwa cha Shai kwa sababu kuna vitu vibaya Bow wow alivifanya kwa Joie wakati mtoto anazaliwa.

Sasa hivi inaaminika wamepatana ili kuwa karibu zaidi na mtoto wao pamoja na kumuhudumia.
.
.

Posted by Bigie on 11:34 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.