MCHEZO WA POOL KWA VYUO VIKUU WAENDELEA MOROGORO

Mchezaji wa timu ya chuo kikuu cha Sokoine SUA Cleophece Cravery akijaribu kupiga mpira wakati wa mashindano ya pool vyuo vikuu inayoendelea mkoa wa Morogoro leo yaliyozaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia yake ya Safari Lager
Mchezaji Chuo kikuu cha Mzumbe Morogoro, Joel Masaro akijitaalisha kupiga mpira wakati wa mashindano ya mchezo wa pool kwa vyuo vikuu yanayozaminiwa na Kampuni ya bia kupitia bia yake ya Safari Lager leo kushoto ni refa Prosper Nkya
refa Prosper Nkya kushoto akiwambia wachezaji wapige mpira kwa ajili ya kujua nani ataanza kucheza na nani atafata wakati wa mashindano ya mchezo wa pool kwa vyuo vikuu Morogoro leo Mashindano hayo yanazaminiwa na Kampuni ya bia Tanzania kupitia bia yake ya Safari Lager

Posted by Bigie on 11:36 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.