MH KOMBANI AKABIDHI OFISI KWA MH CHIKAWE LEO

Waziri wa Katiba na Sheria,Mh. Mathias Chikawe (katikati) akipokea taarifa ya makabidhiano leo kutoka kwa aliyekuwa Waziri katika Wizara hiyo,Mh. Celina Kombani (kulia) aliyehamishiwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Anayeshuhudia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria,Mh. Angela Kairuki.

Posted by Bigie on 6:07 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.