NANI KUIBUKA REDDS MISS UKONGA 2012 LEO












 
WAREMBO 14 wanataraji kupanda jukwaani leo Mei 5 mwaka huu, katika Ukumbi wa Wenge Garden ulipo Ukonga Mombasa, jijini Dar es Salaam kuwania taji la Redds Miss Ukonga 2012.

Mambya aliwataja warembo hao 14 watakao panda jukwaani kuwa ni Shekha Shally, Zainab Matagi, Mageshi Boniface, Juliana Henry, Mary Chizi, Leah John’s na Magdalena Gisse.

Wengine watakao shiriki Redds Miss Ukonga 2012 ni pamoja na Zawadi Mwambe, Stellah Maurice, Amina Sangawe, Elizabeth Pertty, Alicia Donatus, Rachel Isaaack na Amina Ramadhani.

Shindano la Miss Ukonga 2012 linadhaminiwa na Redds Primium Cold, Clouds FM, Father Kidevu Blog, Kiota Jungle, V Mask Logistic, Mambya Insurance, Mamushka Pub & Catering, Hill tech Resort, Mr Mabaga, G Obonyo na Excel Beaut Salon.

Posted by Bigie on 3:20 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.