Nyama Na Utumbo Vyafukiwa Shimoni Dodoma
JAMII 11:39 AM

Ndama(kulia)akimwaga kwenye shimo tayari kwa kuichoma moto ndoo ya nyama ya ng'ombe iliyokamatwa ikiuzwa katika maeneo yaliyokatazwa na Manispaa hiyo ambapo waliokamatwa walifikishwa mahakamani.





