PICHA TATU ZA JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA MWAKA HUU.

Hii ni sehemu ya jumba la BBA mwaka huu ambapo shindano hilo linaanza rasmi May 6 Afrika kusini ambapo itakua inaonyeshwa 24/7 kwa siku 91 kwenye DStv channel 198 huku time hii watu wakienda wawili wawili na mshindi akiondoka na USD 300 000.
Game inaanza saa tatu usiku wa May 6 2012.
.

Posted by Bigie on 6:14 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.