RIHANNA AJIACHIA NA PICHA ZAKE ZA JARIDA LA ESQUIRE KWA MARA YA KWANZA KATIKA MTANDAO WA TWITTER

Rihanna (1) Rihanna (2) Rihanna (3) Rihanna (4)
Mwanadada Rihanna ameutumia mtandao wa kijamii aupendao zaidi Twitter, kutoa picha za kwanza alizopiga kwa ajili ya jarida la Esquire.

Kama kawaida, Rihanna ametoka bomba kinomanoma!
RiRi hakuweka picha peke yake bali aliziongezea maneno ya uchokozi kutoka kwenye wimbo wake ‘Hard’!

“They can say whateva, ima do whateva,” Ain’t like me, dat bitch too phony”, na kwenye picha anayoonekana na kipenga mdomo ameandika “No pain is foreva”.

Hmm, inaonesha kama Rihanna alikuwa akimlenga mtu baada ya wiki iliyopita kujikuta kwenye beef kadhaa kwenye Twitter.

Posted by Bigie on 2:04 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.