TUNAWATAKIA DOMINICA NJEMA YA 6 YA PASAKA

 Dominica ya 6 ya Pasaka mwaka B wa liturujia,mzunguko wa pili

Masomo 

 Somo la 1: Mdo.10:25-26,34-35,44-48
 Wimbo wa katikati: Zab.98:1,2-3,3-4
Somo la 2:  1Yoh.4:7-10
 Injili: Yoh.15:9-17

Rosari leo, Matendo ya Utukufu

Rangi ya Liturujia, Nyeupe.

AD MAJOREM DEI GLORIAM

(Yote kwa utukufu wa Mungu),Mt.Ignatius wa Loyola.

Tunawatakia Dominica njema

Posted by Bigie on 1:47 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.