ACCESS GRANTED: CHECK OUT BEHIND THE SCENE PICS ZA VIDEO MPYA YA AY IN SOUTH AFRICA


alt
Few days ago Tzee number one hustler artist Ambwene Yessaya aka AY ali-jet out of the country akiwa na producer wa MJ Records - Marco Chali kuelekea  South Africa kwa ajili ya kutengeneza video ya ngoma mpya ya AY ambayo amempa shavu Marco.

The video is reported to cost AY more than $28,000 for production na matumizi mengine.

Wapekuzi  tumefanikiwa kupata pics za matukio yaliyokuwa yakifanyika nyuma ya camera wakati wa utengenezwaji wa video hiyo and here we are, granting you the access to check out what went down in SA.

alt

alt

alt

alt

alt

alt

alt

Posted by Bigie on 9:57 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.