Finland Kusaidia Matumizi Bora Ya Ardhi Tanzania


Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Finland, Heidi Hautala (katikati)akipata msosi uliopikwa na wanakijiji wa Nundwe wilayani Mufindi mkoani Iringa huku akiwasikiliza wajasiriamali katika ziara aliyofanya wilayani humo.



Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Finland, Haidi Hautala (aliyevaa koti jeusi, katikati) akiwa na Katibu wa wizara ya Mali asili na Utalii, Maimuna Tarishi (Kushoto) na Balozi wa Findland nchini Sinika Antila (Kulia) wakiwasililiza wanakikundi wa Kikundi cha upandaji wa miti cha Nundwe na Mapanda, katika kijiji cha Nundwe wilayani Mufindi. Katika ziara hiyo, Finland iliahidi kusaidia kukamilisha mpango wa matumizi bora ya ardhi. Chanzo: Frankleonard.blogspot.com

Posted by Bigie on 9:50 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.