MATOKEO: TANZANIA 0 - 2 IVORY COAST FULL TIME



DK 90: Ivory Coast 2-0 Tanzania

DK 86: Goaaaaaaaal Ivory Coast wanapata bao la pili na si mwingine ni Didier Drogba.
DK 80: Kipindi cha pili kinaelekea mwishoni na bado Tembo wanaoongoza kwa bao 1-0
DK 75: Matokeo bado ni 1-0, Ivory Coast wanaongoza.
DK 70: Aggrey Morris anapata kadi ya pili ya njano na kutolewa nje kwa kadi nyekundu.

DK 68: Ivory Coast 1-0 Tanzania
DK 60: Ivory Coast 1-0 Tanzania
Second Half: Kipindi cha pili kimeanza
Half Time:  Ivory Coast 1-0 Tanzania

DK 43: Ivory Coast 1-0 Tanzania

DK: 24 - Solomon Kalou anaipatia goli la kuongoza Ivory Coast

Posted by Bigie on 4:51 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.