WAHU AMTAJA ALIYEMUIMBA KWENYE "STILL A LIAR"


alt
Kenya songstress Wahu Kagwi ambaye kwa sasa ana-shine na ngoma yake inayomzungumzia mwwanaume mdanganyifu kwenye mapenzi aliyemtenda, hatimaye amefunguka na kumtaja the 'Liar' she sangs about in her recent hit single "Still a liar".

Huku watu wengi wakiwa wanahisi labda atakuwa amemzungumzia mumuwe na fellow singer David Mathenge aka Nameless, ambaye ni sukari ya warembo wa Nairobi,

 Wahu leo hii ameamua to put speculations to bed, alipomuweka wazi 'Liar' wakati akihojiwa na na Easy FM. She said, "Everbody keeeps saying, ooh labda nimemzungumzia mtu anayenihusu wengine wakisema ni mume wangu, lakini I want to this speculations off kwa kusema yule mtu nimemuimba kwenye wimbo wangu, ni mtu ambaye nimemtengeneza mtu and he doesn't exist, though vitu nimeimba kwa wimbo wangu ni matukio yanayotokea kila siku kwenye jamii yetu. You know people are liars."

Posted by Bigie on 5:57 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.