VITUKO VYA FIDELINE IRANGA ANAYEJIITA "LADY GAGA WA BONGO"


Huyu ni Mwanamitindo wa muda mrefu, Fideline Iranga a.k.a Lady Gaga wa Bongo.Naamini sote tunamjua......

Mambo anayoyafanya siku  hizi  ni aibu tupu.Hivi karibuni, picha zake za utupu zilisambaa mtandaoni  kwa kasi......

Katika utetezi wake alidai kuwa zilisambazwa  na mtuambaye  alikuwa ni  mpenzi wake.........

Sidhani kama utetezi huo  ulikuwa  na  ukweli ndani yake.Mi nadhani ni  kwa  sababu  umaarufu wake  na ndoto  finyu  ya  kutamani kuwa  kama  Lady Gaga.



Posted by Bigie on 10:46 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.