JB MPIANA TOKA DRC ATAWASHA MOTO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS LEO JIONI


MASHABIKI wa muziki wa dansi wametakiwa kujitokeza kwa wingi leo katika viwanja vya Leaders, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, kushuudia onyesho la kukata na shoka litakalofanywa pamoja na nguli za muziki,  JB Mpiana, kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na  Bendi ya Mashujaa Musica (Watoto wa Mama Sakina).

 Kwa mujibu wa ofisa habari wa Mashujaa,  Asha Kigundula, alisema bendi yake ya Mashujaa imepania kuonyesha shoo ya nguvu na JB Mpiana.

Posted by Bigie on 2:49 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.