HUU NDO UCHAFU UNAOTENDEKA GEST HOUSE....PESA YAGEUZWA LESO...


Ni  vigumu sana kuamini,  lakini hayando mambo yanayotendwa   ndani ya nchi hii....

Pesa imeshushwa thamani  na kugeuzwa  tambara la  kupangusia chafu.......Huku ni kuiabisha  nchi.

Kauli  mbiu  itumikayo  ni  kwamba  "LESO NI DHAHABU  HUKUFAA  WAKATI WA TABU".....

Ndugu  zangu, tujaribu kumuogopa mungu japo kidogo.Kuna watu  wanatabu sana hapa duniani.Ni  bora  kuwasaidia  hao  kuliko  kuichezea  pesa kiasi  hiki 

ASANTE  SANA  MDAU  KWA  KUFICHUA  HIZI PICHA NA  MAELEZO...

Posted by Bigie on 11:03 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.