NDOTO ZA MAKAMUA ZAGONGA MWAMBA



Latest info kutoka kwa MAKAMUA ni kwamba leo baada ya kuchonga nasi aliweza kufunguka na kusema alikuwa na ndoto za kufungua band yake pamoja na studio.

Lakini kwa sasa haitowezekana kwa sababu alikuwa anaanda project zake binafsi za muziki ......

Makamua   alimalizia kwa kusema kwamba mwakani ndiyo ataanza rasmi kupanga mikakati yake ya kufunguka band pamoja na studio yake.

Posted by Bigie on 11:58 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.