RIHANNA AUNGANA NA CHRISS BROWN ABDIJAN KWA AJILI YA KUSHUSHA BURUDANI KATIKA TUZO ZA KORA


Hii ni video  ya  chriss brown na  Rihanna  wakiwasili  Abdijan kwa  ajili  ya kutumbuiza  katika  tuzo  hizo.....

saida nn
Wasanii wa Tanzania waliotajwa kuwania tuzo hizo ni pamoja na Ali Kiba, (Dogo) Aslay na Saida Karoli.

Ali Kiba alitajwa kuwania kipengele cha Best Male East Africa kwa wimbo wake Single Boy aliomshirikisha Lady Jaydee ambapo anachuana na Jimmie Gait Feat Dk – Furi Furi Dance, Kenya,Kidum Feat Sana – Mulika Mwizi, Burundi, Redsan – Ila Wewe, Kenya, Chris D – Aisha, Burundi na Mulatu Astatke – Ethiopie, Ethiopia.

Aslay alitajwa kwenye kipengele cha Best Male Newcomer na wimbo wake Niwe Nawe akipambana na Floby – Saanida, Burkina Faso, Loyiso – Wrong To You, Afrique Du Sud, Aziz Azion – My Oxygen, Uganda, Davido – Dami Duro, Nigeria, John Chiti – Wapusuku, Zambie.

Naye Saida Karoli anawania kipengele cha Best Female East Africa kwa wimbo wake Sakina ambapo anachuana na Juliana Kanyomozi – I Am Ugandan, Marya – Shiki Simu, Kenya, Helen Berhe – Lebe, Ethiopia, Asther Aweke – Lu Mili, Ethiopia na Ikraan Caraale – Gaarsiiya, Somalia.

Posted by Bigie on 3:10 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.