SIZE 8 AONGOZA KWA KULIPWA FEDHA NYINGI ZAIDI AFRIKA MASHARIKI.....


SIZE 8 (4) (600x359)
Website mbalimbali za nchini Kenya zimeandika kuwa Size 8 ndiye msanii wa kike wa Afrika Mashariki anayelipwa pesa nyingi zaidi.

Zimeandika kuwa kwa mujibu wa survey iliyofanywa hivi karibuni imebainika kuwa Size 8 ndiye msanii wa Afrika Mashariki anayepokea dau kubwa zaidi kwa show anazofanya na pia anatafutwa mno kwaajili ya kufanya shows.

Pamoja na show zingine, Size 8 amejipatia fedha nyingi kutoka kwenye kampeni za Niko Na Safaricom, Club 254 ya Airtel na Coca Cola.


Posted by Bigie on 6:08 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.