SISTER P ATUNDIKWA MIMBA......



Rapper wa kike aliyewahi kutamba nchini na ngoma kadhaa ukiwemo‘Anakuja’, Sister P anadaiwa kuwa mjamzito, kwa mujibu wa mtu aliye karibu naye.

Msanii wa kizazi kipya, Tanzanite ndiye aliyeitoa habari hiyo kupitia Facebook  kwa kuandika, “hatimae SISTER P apigwa mimba daaaaah, nangoja kuitwa anko daaah siamini.”

Tumeamua kumpigia simu Tanzanite ili kuthibitisha habari hizo ambaye alisema ni kweli kwakuwa Sister P ni kama dada yake na wapo karibu sana.

Tanzanite amesema ujauzito wa Sister P bado ni mchanga lakini amekuwa akionesha dalili zote kuwa ni mjamzito.

Kama ni habari hizo ni za kweli basi hongera kwake Sister P.

Posted by Bigie on 6:24 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.