VIDEO MPYA YA DIAMOND AKIWA NA AVRIL..."KESHO"

Diamond Platnumz, jina ambalo litaendelea kuwaumiza vichwa watu wengi hasa wasanii wenzake ambao wanaitamani nafasi aliyoshika yeye kwa sasa, the dude is running this game kwa sasa kiukweli na ni ngumu sana kuamini kwamba atashuka kiwango soon.

Haujapita muda mrefu since ameachia video kali ya 'Nataka Kulewa', leo hii anazidi kuwachanganya akili fans wake kwa kudrop another big thing another brand new video "KESHO" ambayo kwa kuitazama tu inaashiria ni ya bajeti na maandalizi ya kutosha.

This time around Platnumz hajalia kama ilivyokuwa katika nyimbo zake zilizopita lakini bado yuko kwenye duara la mapenzi, akimwambia mbaibe wake kuhusu siku ya Kesho ambayo wanapanga kwenda kwa wazazi.

Video hii imefanyika nchini Kenya chini ya Ogopa Videos, na video girl katika video hiyo ni msanii mkubwa wa kike wa Kenya Avril. Master Mastar wengine wakubwa wwa Kenya walioonekana kwenye video hiyo ni pamoja na William Tuva mtangazaji wa Citizen Radio/TV, Collo, na Colonel Mustafa.

Itazame video hiyo hapa

Posted by Bigie on 12:55 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.