PICHA YA ASKARI ALIYEPIGA PICHA NA WANACHAMA WA CCM MOROGORO YALETA UTATA




Ikiwa unafuatilia siasa za Tanzania, picha hii inalinganishwa na ile ya aliyejiita askari wa JWTZ kupiga picha na baadhi viongozi wa CHADEMA na hatima yake ikawa ni kifungo jela.

Maafande wa doria wanaotumia pikipiki wakizungumza na baadhi ya wanachma wa CCM wa kata ya Mji Mpya. Wanachama hao walivamia ofisi kuu ya kata na kuwatimua ofisini viongozi wao na baadae kufungua milango wakiwashutumu kwa mambo mbali mbali ikiwemo la ufisadi.


Picha na: dustanshekidele.blogspot.com

Posted by Bigie on 8:42 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.