"MWANAUME AKIKWAMBIA USIPENDE PESA ZAKE NA BADALA YAKE UMPENDE YEYE HUYO NI MUONGO"....ANGELITA GODWIN


Angelita  ni  binti  anayeamini  kuwa  mapenzi  bila  pesa  hayapo  hapa  duniani......

Anadai  kuwa  mwanaume  akimwambia  asipende  pesa  zake  huyo  ni  mdanganyifu  na  hafai  kumili  mwanamke  yeyote  yule.....

Hii  ni  kauli yake  niliyokutana  nayo  facebook 




"mmmh!!if i were a boy,nisingetaka mwanamke anaenipenda mimi kama nilivyo,ningetaka apende hela zangu ili nizidi kuzitafuta,na ukweli hamna mwanamke anaempenda mwanaume kama alivyo we all looking for someting,...

Sasa huo usemi wa kuambiana usipende pesa zangu nipende mimi sijui unatokea wapi,acheni kudanganywa jamni ukimpata mwanaume anakwambia nipende mimi na si pesa zangu my dear run.............

coz huyo kaplan kufa maskini au muoga wa maisha....u suppse 2 love them both!!!!!!"

Posted by Bigie on 1:19 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.