BINTI ANASWA AKIFANYA MAPENZI NDANI YA GARI ...


Hawa binadamu  wasiokuwa na aibu  walikutwa barabarani wakifanya mapenzi huku wakiwa wameegesha gari lao pembeni

Tukio hili chafu lilitokea week end iliyopita wakati  binti  huyu  akitoka  club  huku  akiwa  tungi.Alipotoka  nje  ya  ukumbi  huo  wa  starehe, alionekana  kumvaa  dreva  tax  mmoja  ili  ampeke  nyumbani.....

Mdau   aliyeinasa  picha  hii  anadai  kuwa  walipoondoka  naye  aliwasha  gari  yake  tayari  kwa  safari  ya  kurudi  kwake.Wakiwa  njiani, alishtuka  kuona  gari  hiyo  ikipakiwa  pembeni  mwa  barabara....

Jamaa  anadi  kuwa  alilipita  gari  hilo  na  alipofika  mbele  alikaa  kidogo  na  kuamua  kurudi  tena  na  ndipo  alipowafuma  live  wakifanya  uchafu  huo  na  kuwapiga  picha....

Walipokurupushwa  na  mwanga wa kamera  ya  jamaa  huyo, mbulula  hao  waliliondoa  gari  lao  kwa  kasi  na  kutokomea

Posted by Bigie on 4:55 AM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.