HII NDO AIBU YA ZITTO KABWE NA HALIMA MDEE



Wakati Bunge la Tanzania likiendelea kufukuta kwa  vurugu na kauli za matusi na dharau, Wabunge hawa  Zitto Kabwe na Halima Mdee wamefunguka juu ya mambo yanayoendelea bungen kupitia mitandao ya kijamii  na  kudai  kuwa  na  aibu  isiyoelezeka.

Wanadai kuwa Bunge  limekosa  mwelekeo  na  kwamba  kwa  sasa   hawaoni  haja  ya  kuendelea  kuitwa  wabunge


Posted by Bigie on 5:14 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.