MSHUKIWA WA ULIPUAJI MABOMU BOSTON MAREKANI AUAWA NA WA PILI ANASAKWA KWA UDI NA UVUMBA


Mmoja wa washukiwa wawili wa tukio la ulipuaji bomu katika mbio za Marathon huko Boston, Marekani ameuawa kwa risasi huku polisi wakiendelea kumsaka mwingine.

Polisi wa jimbo la Massachusetts wamewaonya wakazi wa Watertown, kujifungua ndani mwao na wasimfungulie milango mtu huyo anayeaminika kuwa ni gaidi. Wamesema mtu huyo ni hatari na ni tishio kwa kila mtu anayemsogelea.

Picha za washukiwa hao zimetolewa na FBI jana.

Tangazo hilo limekuja masaa kadhaa baada ya jana usIku kwenye mitaa ya Watertown kutokea tukio la kurushiana risasi ambaPo polisi mmoja aliuawa kwenye campus ya chuo cha teknolojia cha Massachusetts, MIT.

Kupitia akaunti yake ya Twitter (MASS STATE POLICE ‏@MassStatePolice) polisi wa jimbo hilo iliandika:

“If any concerns about someone at door, call 911 immediately. Repeat–Do not answer door, stay away from windows, keep doors locked.

Residents in and around Watertown should stay in their residences. Do NOT answer door unless it is an identified police officer.

Police will be going door by door, street by street, in and around Watertown. Police will be clearly identified. It is a fluid situation.”

Posted by Bigie on 5:05 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.