"MPENZI WANGU HUWA ANATOKWA NA HAJA KUBWA WAKATI WA TENDO".....HAYA NDO MAJIBU YA UCHUNGUZI BAADA YA KUOMBA USHAURI




Hivi  karibuni  tuliweka  habari  ya  mdau  aliyekuwa  anaomba  ushauri  kuhusu  mpenzi  wake  ambaye  alikuwa  anatoa  haja  kubwa  wakati  wa  tendo......


Pamoja  na  jitihada  za  kumuuliza  kama  ni  mdau  wa  0718,binti  huyo  aligoma  kabisa  na  ndipo  jamaa  alipoamua  kufanya  uchunguzi  wa  chinichini  na  kubaini  ukweli

HILI  NI  SIMULIZI  LAKE:
-----------

Kwanza nawashukuru sana kwa maoni, mitazamo na ushauri wenu juu ya tatizo  langu  nililolitoa siku chache zilizopita.....

Baada ya kupitia maoni mengi niliamua kutumia ujanja na  nguvu  ya  ziada  ili niupate ukweli  ulikokuwa  umejificha...

Jana mida ya saa 1 usiku niliamua kutoka out na huu mpenzi wangu  ambaye ni  mwanafunzi wa chuo  kikuuu.Lengo  lilikuwa  ni  kumnunulia  pombe  nyingi  alewe  ili  nione  kama  kuna  siri  yoyote  naweza  nikaigundua  toka  kwake...

Kwa kuwa mimi huwa situmii pombe ,niliamua kumuita na rafiki yangu na mpenzi wake waje kunipa support,hivyo tukawa watu wanne, yaani  mimi na demu wangu ,rafiki yangu na demu wake....

Niliamua kufanya hivyo kwa  sababu nilijua tukiwa wawili  angekataa kunywa pombe kwa sababu mimi si mpenzi wa pombe  na  katika  outing  zote  sijawahi  kumnunulia  pombe  japo  najua  anatumia.

Mpaka mida ya saa  nne  usiku, tayari  wenzangu  walikuwa wamelewa kiasi huku mpenzi  wangu akinusumbua tuondoke tukalale nami nikafanya hivyo .....

Tulipofika geto  kwangu, tulianza mchezo  wa  kikubwa  na maandalizi ya nguvu  huku  nikiwa  makini  ili  nione  kama  kuna  kitu  kipya  naweza  kukugundua  toka  kwake...

Kwa makusudi kabisa, nilijaribu kupeleka  kiungo  changu kwenye 0718  na  kujifanya  nataka  KABANG ..!!

Sikuamini  macho  yangu....nilistuka baada  ya  kuona  mpenzi  wangu  akinipa  mapokezi  ya  nguvu  huku  akiwa  amelewa na  kujikuta  akiropoka

"Asante  baby!!...,ulikua unachelewa...,kumbe na wewe unatumia, kwa nini hukunambia mapema".. 

Nilighafirika na kuishiwa nguvu maana  sikuamin masikio yangu.Mwili  wote  ulilowa  jasho.Ni  laana  ambayo  sikuwahi  kuifikiria  maishani  mwangu  na  sikufikiria  kama  kuna  siku  nitakuwa  na  mpenzi anayetumia  0718  

Asanteni  sana  kwa  ushauri  wenu

Posted by Bigie on 5:42 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.