Binti apewa adhabu MBAYA baada ya kutumia vibaya sh. 800/= aliyopewa na dada yake


Shilingi mianane (800/=) imezua kizazaa kwa  huyu binti baada ya dada yake kumkabidhi kiasi hicho cha fedha kwa matumizi ya nauli ya siku 7 ( kwenda  na  kurudi )  bila hela ya matumizi shuleni. 

Binti huyo aliitumia fedha hiyo kwa nauli na iliyobaki alinunulia chakula baada ya njaa kumzidi uwezo.

Kitendo hicho kilimkasirisha dada yake na kumpa adhabu ya kutembea kwa mguu kwenda na kurudi shuleni kwa siku sita  zilizosalia bila hata hela ya kula na akirudi lazima akaguliwe kama kafika shuleni. 

Je! Huu ni uungwana?.
 -picha  kwa  hisani  ya  baabkubwa.

Posted by Bigie on 7:13 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.