Maisha ya DIAMOND ni AIBU tupu...Mdogo wake amuumbua kwa kuanika kila kitu.. BOFYA HAPA UJIONEE


Mdogo  wa  Diamond  ameamua  kumuumbua  kaka  yake.Kayaanika  maisha  yake  yote  tangu  akiwa  underground  hadi  star...

Dodo  anadai Diamond  alikuwa  ni  muuza  supu  ya  ngozi, mswaki  alikuwa  anapiga  mara  moja  kwa  wiki...

Inadaiwa  Diamond  alikuwa  ni  mnywa  Gongo, chokoraa  na  mengine  kibao  ambayo  mdogo  wake  kaamua  kuyaanika....

MSIKILIZE  HAPO  CHINI...

MSIKILIZE  HAPO  JUU...NI  BALAA  TUPU...NDUGU  WAMEAMUA  KUUMBUANA

Posted by Bigie on 4:35 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.