Msanii Rayuu yuko mahututi baada ya KUTOA MIMBA kienyeji

 Hivi karibuni zilienea habari za chini chini kuwa muigizaji wa filamu nchini  maarufu kwa  jina  la  Rayuu zikidai  kuwa  ametoa mimba  kienyeji   na  sasa  yuko  kitandani  angali  akiuguza  maumivu...

Habari hizo zilimfikia  mpekuzi  wetu   wa  kitengo  maalumu  cha  UMBEA na kuamua kumtafuta Rayuu ili atoe ufafanuzi wa issue hiyo. 

Katika  utetezi wake, mrembo  huyo  alizikana  taarifa  hizo    na  kudai  kuwa yeye hana  historia  ya  kuchoropoa  mimba..Kilichomfanya  augue  ni  maradhi  ya  kawaida  na  si  kutoa  mimba.

Posted by Bigie on 2:45 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.