Hii ni Video ya ripoti ya Mauaji ya Westgate iliyoua watu 69 ikiletwa kwako na Mpekuzi Mohammed All wa Jicho Pevu-KTN..Walichokifanya wanajeshi wa Kenya ni AIBU tupu


Zimekuwa ni siku nyingi za kubashiri  kuhusu kilichojiri wakati wakenya walipotekwa  nyara na magaidi kwa siku nne mtawalia.

Wakenya zaidi ya sitini walipoteza maisha yao katika jumba la Westgate lakini hadi sasa Wakenya hawajajua ukweli kuhusu yaliyojiri katika jumba la Westgate.

  - Je ni kweli kuna waliokuwa wametekwa nyara na magaidi na kuzuiliwa katika jumba hilo?
  - Je ni kweli kuna magaidi waliouawa na wanajeshi?

Meza ya upekuzi ya Jicho Pevu na Inside Story usiku na mchana wamekuwa wakidurusu kila ukurasa na kufanya mahojiano
na kupitia hatua kwa hatua video za CCTV kutoka jumba la Westgate na sasa wako tayari kukusimulia kilichojiri.

Ungana na mwanahabari mpekuzi Mohammed Ali kwenye video ya KTN iliyopachikwa hapo chini...


Posted by Bigie on 10:07 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.