DR. KIKWETE AZINDUA RASIMI JENGO JIPYA LA CHUO CHA TAIFA CHA UTALII JIJINI DAR ES SALAAM

 JK akiwapongeza na kuwapa ngao washindi wa shindano la wapishi bora wakati wa sherehe za uzinduzi wa jengo jipya la Chuo cha Taifa cha Utalii mtaa wa Garden Avenue jirani na IFM na Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar siku ya jumamosi (jana)
 JK akisalimiana na wanafunzi katika Chuo cha Taifa cha Utalii
 JK akisalimiana na wanafunzi wa chuo hicho ambao wamefurahi kwa ujio wake
 JK akisalimiana na wakufunzi na wanafunzi 
 Ni furaha ilioje kupata chuo cha utalii cha taifa
 Baadhi ya wanafunzi 
JK akikata utepe na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Mh Henri de Raincourt. Kushoto ni Waziri wa Utalii Mh Ezekiel Maige na kulia ni Mtendaji Mkuu wa Chuo hicho Bi Agnes Mziray

Posted by Bigie on 5:54 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.