CHID BENZ APIGWA MARUFUKU CLUB ZA MBOWE......

Msanii wa kufokafoka Chid  Benz amepigwa stop kutimba club za Bills na Much more kutokana na kile kinachodaiwa kuleta vurugu ukumbini humo siku kadhaa zilizopita.
 Mwishoni mwa wiki hii Chid Benz alifika club Much more lakini alitolewa nduki na mabaunsa atoke na asionekane tena billz ama Much more kwani hawataki kumuona kutokana na ukorofi wa msanii huyo.

Posted by Bigie on 2:21 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.