HIZI NDIO AJIRA MPYA ZA WALIMU KATIKA NGAZI MBALI MBALI AMBAZO ZILITANGAZWA RASIMI JANA

Tunatambua kuwa Wanavyuo  walimu walikuwa hawana kazi kwa muda mrefu Jambo ambalo liliwafanya wengi kuwa na wasi wasi na mwajiri wao.

Tunapenda kuwapa tarifa  kuwa, Walimu wahitimu wote Jana usiku majira ya saa saba Nafasi hizo zilitangazwa Rasmi, Pia sisi Tunapenda kuwasilisha majina ya wanafunzi ambao wamechaguliwa .

Tunaomba mchukue Muda wenu kutazama kwa umakini majina yenu yote yapo hapa.









IMETOLEWA  NA:
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI

Posted by Bigie on 11:13 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.