"UMAARUFU WANGU HUWAFANYA WANAUME WANIOGOPE"....ROSE CHITALA


Mtangazaji anayetumikia kituo namba moja cha redio Bongo, Times FM, Rose Bernad Chitala, amekiri baadhi ya wanaume kuogopa ‘kumtokea’ kutokana na umaarufu wake.

Akizungumza na Mpekuzi wetu  jijini Dar es Salaam, juzi  kuhusiana na maisha yake ya kimapenzi, Chitala alifunguka:

“Unajua umaarufu ni kazi sana, mtu anakuwa anakuogopa akidhani labda atakapokutokea utammwaga au anahisi huwezi kuwa na mapenzi ya kweli.”

Staa huyo wa kipindi cha Afro-Vibes alisema aliwahi kuwa na mwanaume waliyemwagana ambaye yupo nje ya nchi, lakini kwa sasa ana mpenzi mwingine

Posted by Bigie on 1:57 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.