HAPPY BIRTHDAY MH. RAIS KIKWETE
habari za kitaifa, KIKWETE 2:07 AM
Tarehe kama ya leo (October, 7) ni siku aliyozaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Kikwete.
Mpekuzi inaungana na maelfu ya wananchi waliomtakia maisha mema na wanaondelea kumpongeza kwa siku hii. Sisi tunamtakia maisha marefu na Mungu amjalie kuliongoza vema taifa letu.
Kupitia Twitter, Mheshimiwa Kikwete amewashukuru wote wanaoendelea kumtakia birthday njema.
