BREAKING NEWZZ!!....GODBLESS LEMA ASHINDA RUFAA YAKE YA UBUNGE.HIVI SASA NI MBUNGE HALALI



Habari zilizotufikia hapa mtandaoni kutoka kwa mtu wetu aliyepo mahakamani ni kwamba Mbunge wa Arusha mjini Godbless lema ameshinda rufaa yake ya ubunge.

Rufaa hiyo ilikuwa inasikilizwa mahakama kuu ya rufaa jijini Dar es salaam.Kwa maaana hiyo ni kwamba lema kwa sasa atakuwa mbunge halali wa arusha mjini.

Ikumbukwe lema alisimamishwa ubunge wake kupitia kesi iliyofunguliwa kwamba wakati wa kampeni zake alitoa lugha isisiyotakiwa kwa mgombea wa ccm.

HABARI  ZAIDI ZINAKUJA......

Posted by Bigie on 11:00 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.