LAANA: VIDEO YA MWANAMKE AKITENDA UNYAMA NA UKATILI KWA MTOTO MCHANGA......


Mama ni kiungo muhimu sana kwenye jamii, hususani katika swala zima la malezi ya mtoto ......


VIDEO iliyopo hapo chini inamwonesha mwanamama akimwadhibu mtoto wake wa kumzaa kwa style ambayo haikubaliki kwa kweli.... 

HATA mtoto akikosea hastaili ADHABU kubwa kiasi hiki kwani ni kipindi cha mpito ambacho mtoto huyu anapitia na kitendo cha kumwadhibu kwa staili haivumuiliki hata kidgo...

 EMBU iangalie HAPO CHINI na wewe halafu  utoe mtazamo wako? je tunajifunza nini?
 

Posted by Bigie on 6:33 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.