MAKALIO YA WENZETU HAYANA THAMANI...HII NI PICHA YA RIHANAA ALIYOI POST INTAGRAM


Haya  si  mambo  ya kuiga  hata kidogo.Nawashangaa  sana wasanii  wetu  kuiga vitu  kama hivi.....

Ninachoamini mimi ni kwamba makalio  ya wenzetu  hayana  thamani yoyote.......Hii  ni  tofauti  kabisa  kwa upande  wa  tanzania......

Hawa ni  baadhi  ya wasanii  wetu  wenye  kuiga  mambo  machafu
 AUNT  EZEKIEL......

 WEMA SEPETU......


HII NI PICHA  YA  DIAMOND  ORIGINAL AMBAYO ILITOLEWA  KATIKA MAGAZETI
 HII NI  PICHA YAKE  ILIYO EDITIWA  NA  WATU NA  KSAMBAZWA FACEBOOK

 

Posted by Bigie on 2:22 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.