MASOMO YANANIPUNGUZIA STAREHE--ASEMA TEDDY
JAMII 4:07 AM
MSHIRIKI wa shindano la Maisha Plus season I, Tereza John ‘Teddy’, amefunguka kuwa, masomo yamempunguzia starehe kutokana na kushindwa kwenda viwanja mbalimbali kwa ajili ya ‘kula bata’ kama ilivyokuwa siku za nyuma.
Akiongea na MPEKUZI wetu juzikati jijini Dar, Teddy alisema kutokana na kubanwa na ratiba za masomo analazimika kutumia muda mwingi kufanya kazi anazopewa chuoni na kukosa muda wa kwenda kujirusha.
“Unajua mimi ni mtu wa starehe, lakini kwa sasa imebidi ninyooshe mikono kutokana na kubanwa na ratiba za masomo hapa chuoni,” alisema mrembo huyo.
Teddy yupo chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam ‘DSJ’ akiwa mwaka wa mwisho wa masomo ya Stashahada.
Akiongea na MPEKUZI wetu juzikati jijini Dar, Teddy alisema kutokana na kubanwa na ratiba za masomo analazimika kutumia muda mwingi kufanya kazi anazopewa chuoni na kukosa muda wa kwenda kujirusha.
“Unajua mimi ni mtu wa starehe, lakini kwa sasa imebidi ninyooshe mikono kutokana na kubanwa na ratiba za masomo hapa chuoni,” alisema mrembo huyo.
Teddy yupo chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam ‘DSJ’ akiwa mwaka wa mwisho wa masomo ya Stashahada.






