MCHINA AGOMA KULIPA USHURU WA MAEGESHO KWA KUWA WEEKEND SIYO SIKU YA KAZI


Moja ya watumishi wa kampuni ya AAICO ambayo ndiyo wamepewa damana ya kukusanya ushuru wa maegesho ya magari jijini mbeya akitoa mnyororo kulifunga gari ya wachina hao huku mama wa kichina akilia kwa hasira
Mama wa kichina akimtolea maneno makali binti Eliza mkusanya ushuru wa maegesho ya magari huku mchina huyo akiendelea kugoma kuwa hawezi lipa ushuru siku ya jumamosi na jumapili kwani ni siku za mapumziko siyo siku za kukusanya ushuru 
Mume wa mama mama a kichina akijaribu nae kuwaelewesha wakusanyaji waushuru wa maegesho yamagari kuwa wameshazoea hivyo kutolipa siku ya jumamosi na jumapili kwani ni siku za mapumziko
Mama wa kichina akimfukuza binti mkusanyaji ushuru 

Mama wakichina yuhoi kajilaza kwenye gari yake kwa hasira aliyonayo
Mama wakichina akimtazama binti Eliza kwa hasira kuwa ni mwizi

SOURCE: MBEYA YETU

Posted by Bigie on 3:58 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.