BEYONCE AJIFUNGUA MTOTO WA "KIKE"

HABARI zinadai kuwa mwanamuziki Beyonce ametimiza ndoto zake kwa kujifungua mtoto wa kike.

Usiku wa juzi ulikuwa usiku wa kihistoria kwa mwanamuziki huyu kwani ndo usiku ambao Beyonce alijifungua.

Habari zaidi zinasema kuwa Jay Z alionekana mtu mwenye furaha siku nzima ya juzi huku akihaha kwa kufanya maandalizi ya kumpokea mtoto wake huyo. 

Baada ya kujifungua Beyonce alimpatia jina la Blue Ivy Carter

Posted by Bigie on 12:48 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.