DR, KIKWETE AWASILI MJINI ADDIS ABABA KUHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA UMOJA WA AFRIKA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Makao Makuu ya Umoja wa Africa leo mjini Addis Ababa,Ethiopia.Kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mhe. bernard Membe. Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika umeanza leo asubuhi mjini Addis Ababa.

Posted by Bigie on 1:46 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.