MR.BLUE AANZA MAANDALI YA KUFUNGA NDOA
JAMII 8:10 PM
Baada ya kila mmoja "kuguess" anachokijua kuhusu mke mtarajiwa wa Staa wa single ya Tilalila ya MR BLUE, hatimaye,msanii huyo ameamua kuanika ukweli.
Akiwa katika mahojiano maalumu na mpekuzi wetu ,Blue mwenye umri wa miaka 24, alifunguka na kueleza mengi juu ya mahusiano yake.Kwanza alianza kwa "mbwembwe" za kumnadi mchumba wake kuwa ni STAA kutokana na kile anachokiamini yeye kuwa "mtoto wa nyoka naye ni nyoka"..
“mpenzi wangu mimi ni staa kwa ajili yangu ila ni mtu wa kawaida na Mungu akijalia ndani ya miaka mitano ijayo, nitakua nimeshamaliza swala la ndoa, yani nitakua nimemuoa, sasa hivi ni time ya kutulia, huyu ndio mpenzi wangu niliekaa nae kwa miaka nane mpaka sasa”Alisema Mr.Blue
alipoulizwa na Mpekuzi wetu kuhusu taarifa za kuwa na mahusiano ya kimapenz na msanii NAJMA ambae aliuza sura kwenye video ya TABASAMU, Mr.Blue alisema :
Huyu ndio WAHYDA, mke mtarajiwa wa MR. BLUE







